Watumishi wanawake Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tawi la Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kilele cha Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Machi 8,2025 Dar es Salaa...
Watumishi wanawake Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kilele cha Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo Kitaifa yalifanyika Arusha ,2025
Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Mathew Mwaimu(JajiMstaafu) akizungumza na waandishi wa habari kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 7,2025 Jijini Dodoma
Kamishna Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Amina Talib Ali(wa pili kulia) akikabidhi mahitaji kwa kiongozi wa Kituo cha kulelea watoto wanaoshi katika mazingira magumu kilichopo Mkoani Aru...
Ujumbe wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora,ukiongozwa na Mhe.Amina Talib Ali ukiwa katika picha ya pamoja na viongozi na wafanyakazi wa Kituo cha kulelea Watoto waishio katika mazingira magu...
Mkurugenzi Idara ya Malalamiko na Uchunguzi Bi.Suzan Ndeoana akizungumza na wateja waliofika katika Banda la THBUB wakati wa Maonesho ya Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Viwanja vya TB...
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt.Damas Ndumbaro akimsikiliza Kamishna Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora ,Mhe. Amina Talib Ali maelezo kuhusu huduma zinazotolewa na THBUB alipotembelea Banda la...
Maafisa kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi.Mwanamkuu Hashim na Bi.Sonlitha Luhimbo wakimsikiliza mteja aliyetembelea Banda la THBUB katika Maonesho ya Wiki ya Wanawake Duniani yanayo...
Kamishna Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Amina Talib Ali akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili katika Banda la THBUB Viwanja vya Abeid Karume Machi 3,2025 Jijini Arusha
Baadhi ya Watumishi Wanawake Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora,wakijaza taarifa za wateja katika vitabu vya kusajili mara baada yakusikilizwa na kupatiwa elimu kuhusu haki za binadamu na mising...